11/05/2010

Matokeo ya Uchaguzi Tanzania

Matokeo ya uchaguzi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa.

 
Walio piga kura 8,626,283 – 42.84%

Kura zilizoharibika – 227,889 – 2.64%
 
Kura halali – 8,393,394 – 97.36%

Idadi ya kura na asilimia kwa kila chama ni kama ifuatavyo:
 
1. APPT Maendeleo - 96,933 – 1.12%

2. Chama Cha Mapinduzi – 5,276,827 – 61.17%

3. CHADEMA – 2,271,941 – 26.34%

4. CUF – 695,667 – 8.06%
5. NCCR Mageuzi – 26,388 – 0.31%
 
6. TLP – 17,482 – 0.20%
 
7. UPDP – 13,176 – 0.15%
 

No comments:

Post a Comment