![]() |
| Hivi ndivyo meza kuu ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ilivyopambwa kwenye uwanja wa Majimaji Songea Mjini leo. |
![]() |
| Umati wa wana Songea Mjini wakimsubiri Mheshimiwa Kikwete |
![]() |
| Umati ukimshangilia Mheshimiwa Kikwete akiingia uwanjani |
![]() |
| Wapanda pikipiki wakisindikiza msafara wa JK alipokuwa anaingia uwanja wa Majimaji Songea Mjini leo. |



.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
No comments:
Post a Comment