7/12/2010

Dr. Bilal amshukuru Mwenyekiti wake, aahidi ushindi wa KISHINDO

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Dr. Gharib Bilal kama Mgombea Mwenza kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu wa Tanzania mwezi Oktoba.

Mmoja wa wakereketwa wa CCM Mkoani Dodoma akiimba CCM Chama wakati Mwenyekiti wa CCM Taifa Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete alipowasili kwenye uwanja wa Michezo wa Jamhuri mjini Dodoma.


Baadhi ya vijana wa CCM waliokuwa wamevalia Tshirts maalum za vijana wa mkoa wa Dodoma zilizoandikwa KIKWETE 2010. Vijana hawa walihamasisha umati kwa nyimbo zao na furaha waliyokuwa nayo wakati viongozi wa Chama wakitambulishwa.







No comments:

Post a Comment