7/10/2010

Mkutano Mkuu wa CCM Kizota Dodoma Leo

Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akikaribisha wageni na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM leo Mjini Dodoma.
Jukwaa kuu limepambwa kwa picha za viongozi wakuu wa CCM na kauli mbiu ya Mkutano Mkuu "Pamoja Tuzidi Kusonga Mbele"

Bango la kuwapokea wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM karibu na lango kuu kuingilia Kizota ukumbi ambao Mkutano Mkuu wa CCM unaendelea kwa siku mbili.


Agenda na Ratiba ya Mkutano Mkuu wa CCM - Kizota, Dodoma

- Kufungua Mkutano

- Marekebisho ya Katiba ya CCMya Mwaka 1977 Toleo la Julai 2010

- Taarifa za utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2005-2010

- Uteuzi wa mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM

- Kufunga Mkutano

No comments:

Post a Comment