7/10/2010

Wageni waliohudhuria Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma






Taswira ya Barabara iendayo Kizota Dodoma ambapo Mkutano Mkuu wa CCM umeanza Leo Asubuhi saa nne.

Wafuatao ni baadhi ya wageni walioalikwa kutoka Vyama vingine vya siasa ndani na nje ya Tanzania.

Matawi yote ya CCM nje ya Nchi : Washington DC, London, India etc

Vyama Kutoka Nje Ya nchi

Chama Cha Kikomunisti cha China - China

Chama Cha SWAPO - Namibia

Chama Cha FRELIMO - Mozambique

Chama Tawala Rwanda

Chama Tawala Botswana

Chama CNDDFDD - Burundi

Chama Cha FLA cha Algeria -

Chama cha Wafanyakazi - Korea

Vyama Pinzani Ndani ya Tanzania: Hawa wote wameshangiliwa sana na wajumbe wote lakini kwa shangwe zaidi walishangiliwa sana Mrema na Lipumba ambapo wajumbe wote walisema CCM.

TLP - Lyatonga Mrema

CUF - Mwenyekiti bara Dr. Ibrahim Lipumba

UMD - Mwakilishi
Na Vyama vingine vingi.

1 comment:

  1. Twawatakieni mkutano mwema uwe na mema kwa umma

    ReplyDelete