8/30/2010

DK BILAL













1:-Dk. Bilal akizungumza na wanachi wa Wilaya ya Nanyumbu baada ya kuingia mpakani mwa wilaya hiyo na Masasi leo Agost 30 Baadhi ya makada wa Chama cha Mapinduzi wa Wilaya ya Newala Mkoa wa Mtwara, wakiwa katika magari kwenye msafara wa kumsindikiza Mgombea Mwenza wa nafsi ya urais,

2:-Mgombea Mwenza Dk. Mohamed Gharib Bilal na Mama Asha Gharib, wakiingia katika uwanja wa Kijiji cha Nangaka kwa ajili ya kuhutubia wananchi wa Kijiji hicho leo Agost 30.

3,4 na 5:- Mwalimu wa Kidato cha kwanza na cha pili wa Shule ya Sekondari Lukuled, Tomoko Ada Chi, Raia wa Japan, akiwa ni mmoja kati ya wananchi wa Kijiji cha Lukuledi Wilaya ya Masasi Mkoa wa Mtwara, waliojitokeza kumsikiliza mgombea Mwenza Dk. Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akiwahutubia wananchi hao na kuwanadi wagombea Ubunge wa Jimbo la Lulindi na Bwanausi Dismas na Mariam Kasembe wa Jimbo la Masasi leo Agost 30
6:-Wananchi wa Lukuledi wakimsikiliza Dk Bilal

7:-Wananchi wa Kijiji cha Lukuledi Wilaya ya Masasi Mkoa wa Mtwara, wakimsikiliza mgombea mwenza Dk. Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akiwahutubia wananchi wa Kijiji hicho leo mchana Agost 30.

8:- Wananchi wa Kijiji cha Mikangauka mpakani mwa Wilaya ya Newala na Masasi, wakimshangili Mgombea mwenza Dk. Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akipita njiani kuelekea Masasi leo Agost 30.


9:- Mgobea Mwenza Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na wananchi na viongozi wa Chama cha Mapinduzi wa Wilaya ya Masasi, baada ya kuingia mpakani mwa wilaya hiyo na Newala, leo Agost 30.
10:-Kamanda wa Chipukizi wa Wilaya ya Masasi, Fatuma Rajab, akimvisha skafu Mgombea Mwenza Dk. Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akiingia mpakani mwa Wilaya ya Masasi akitokea Wilaya ya Newala leo mchana Agost 30.

11:- Wananchi wa Kijiji cha Mangaka Wilaya ya Nanyumbu Mkoa wa Mtwara Jimbo la Nanyumbu, wakimsikiliza mgombea mwenza Dk. Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akiwahutubia wananchi wa Kijiji hicho leo mchana Agost 30.

12:- Dk Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akitoka Wilaya hiyo kuelekea Wilaya ya Masasi leo asubuhi Agost 30.

No comments:

Post a Comment