8/31/2010

Ratiba ya Kampeni ya Mheshimiwa Kikwete Leo - Jumanne 31/8/2010

Kampeni za Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo zimeingia siku ya kumi na moja tangu zianze.
Mheshimiwa Kikwete anatarajia kufanya Mkutano wa Kampeni wa kwanza kwa siku ya leo Kyela na baadae msafara wake utaenda Rungwe. Msafara huo unategemewa kumalizia na Mkutano wa Kampeni Mbeya Mjini.

No comments:

Post a Comment