10/29/2010

Mkutano wa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM na Waandishi wa Habari

Mgombea urai wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiwa kwenye mazungumzo na waandishi wa habari usiku huu kwenye ukumbi wa Arnautoglou jijini Dar es salaam leo tarehe 29.10.2010

Mkutano wa Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete na waandishi wa habari unaendelea sasa hivi kwenye ukumbi wa Arnautoglou Mnazimmoja jijini Dar es salaam. 

Mkutano huo unaojumuisha maswali yanayoulizwa na wawakilishi wa vyombo vya habari na kuratibiwa na Bi. Asha Mtwangi, unahusisha vituo tisa vya televisheni vikiwemo ATN, Channel 10, East Africa TV, TBC, TV Milimani, Clouds TV, Star TV na ITV.

No comments:

Post a Comment