Kampeni katika picha Kilindi, Handeni
Rais Jakaya Kikwete akiwahutubia mamia ya wananchi wa mji wa Songe ambao ni makao makuu ya wilaya ya Kilindi wakati wa mkutano wa kampeni alioufanya wilayani humo
Mheshimiwa Jakaya Kikwete, Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi,CCM, akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Mziha kilichoko katika wilaya ya Kilindi. Rais Kikwete yupo katika kampeni kwa ajili ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika
No comments:
Post a Comment