9/26/2010

Kampeni za Mheshimiwa Kikwete Leo

Mkutano wa kwanza wa kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi leo utakuwa Bwisya Ukara na wa pili utakuwa Nansio, Wilayani Ukerewe.

Baada ya mikutano hiyo miwili, Mheshimiwa Kikwete na msafara wake utaelekea Kisesa na Nyanguge Wilayani Magu.

Mwishoni Mheshimiwa Kikwete atafanya mikutano ya kampeni Lamadi na baadae Bariadi Mjini ambapo utakuwa mkutano wake wa mwisho kwa siku hii ya leo.

No comments:

Post a Comment