9/27/2010

Kampeni za Mheshimiwa Kikwete Leo

Kampeni za Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo zimeanzia makao makuu ya Wilaya mpya ya Itirima, Lagangabilili Mkoani Shinyanga.

Baada ya hapo msafara wa Mheshimiwa Kikwete utaelekea Mwandoya jimbo la Kisesa na Mwanhuzi ambapo atafanya mikutano ya kampeni. Kituo kitakachofuata baada ya hapo ni Lalago na Mwaswa kabla hajaelekea Malampaka na Mhunze.

Mkutano wa mwisho wa kampeni kwa siku ya leo utakuwa Shinyanga Mjini.

No comments:

Post a Comment