Karibuni kwenye blogspot Jakaya Kikwete 2010. Blogspot hii ina habari za siku 70 za Kampeni ya Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Jakaya Mrisho Kikwete. Blog hii haitakuwa na habari baada ya tarehe 30 Oktoba, 2010
9/21/2010
Mkutano wa Kampeni Iringa Mjini - JK na Mwakalebela waiteka Iringa Mjini
Umati mkubwa wa watu wakisikiliza hotuba ya Mgombea Urais wa CCM Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete alipokuwa akinadi sera za CCM kwenye mkutano mkubwa wa kampeni Iringa Mjini. Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mmoja wa walioshiriki kwenye mchakato wa kura za maoni kuwania uwakilishi wa ubunge kupitia CCM Iringa Mjini, Fredrick Mwakalebela ambnaye alivunja kambi yake rasmi baada ya mkutano mkubwa wa kampeni uliowaunganisha wananchi wa Iringa Mjini.
Kikundi cha Ze Origino Komedi nacho kilikuwepo uwanjani kikihamasisha watu wajitokeze kwa wingi kupigia kura CCM
No comments:
Post a Comment