9/25/2010

Wana- Musoma wammwagia sifa Kikwete na CCM


Wana CCM wa Musoma Mjini wakimshangilia Mgombea Ubunge Jimbo la Musoma Mjini Mathayo akitoa ushuhuda wa mafanikio ya CCM mbele ya Mwenyekiti wa CCM na Mgombea Urais wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

No comments:

Post a Comment