9/28/2010

Kampeni za Mheshimiwa Kikwete Leo

Kampeni za Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo zinaanzia vituo viwili ambavyo hapo jana Msafara huo ulishindwa kupitia vituo hivyo kutokana na muda.

Vituo hivyo ni Muhunze na Malampaka ambapo atafanya mikutano mikubwa ya kampeni na wananchi wa hapo kabla ya kuelekea Lyabukande, Ushirombo na Masumbwe.

Mkutano wa mwisho wa kampeni kwa siku ya leo utafanyika Kahama Mjini

No comments:

Post a Comment