9/25/2010

Mapokezi ya kishindo kwa Kikwete Musoma Mjini

Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiingia kwenye uwanja wa Shule ya Msingi Mukendo tayari kwa kuzungumza na wananchi wa Musoma kwa ajili ya mkutano wa kampeni.

No comments:

Post a Comment