9/25/2010

Mkutano wa Kampeni Kibara - Picha

 Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akifunikwa na mikono ya mashabiki wa CCM na wananchi wa Kibara, Bunda Mkoani Mara leo alipohutubia mkutano mkubwa wa kampeni mchana huu.
 Wana CCM wakiimba kumpokea Mheshimiwa Kikwete alipowasili Kibara kwa ajili ya mkutano mkubwa wa kampeni kabla ya kuelekea Bunda na Musoma Mjini.
Umati mkubwa wa wananchi wa Kibara wakimsikiliza Mheshimiwa Kikwete akihutubia mkutano wa kampeni

No comments:

Post a Comment