9/25/2010

Kampeni za Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Leo

Msafara wa kampeni wa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo utaanzia Kibara, Mkoani Mara.

Kwa mujibu wa ratiba, baada ya Kibara Mheshimiwa Kikwete atafanya mkutano mkubwa wa Kampeni Bunda na baadaye Mkunyu.

Mkutano wa mwisho wa kampeni kwa siku ya leo utafanyika Musoma Mjini.

No comments:

Post a Comment